WOKOVU WAREJEA MTWARA
Habari za Leo wapendwa katika BWANA,Natumaini tumeendelea kuwa salama katka mikono ya BWANA huko tuliko!!!Napenda kuwakumbusha kuwa mikutano yetu ya Mtwara i karibu kuanza hivi punde,hivyo kila na tumgeuzie BWANA Nyuso zetu na kuomba sana kwaajili ya wokovu wa wana MTWARA,kwani BWANA aliyeghaili kuwaangamiza Israel kwa maombi ya MUSA,aweza kuwaokoa wana MTWARA kwa maombi yetu ya unyenyekevu NYERERE CAMPUS
Comments
Post a Comment